WASANII ALIKIBA alivyomtembelea mama yake Rais magufuli by Unknown on January 28, 2018 0 Comment SHARE Jana January 27,2018 Staa wa muziki wa Bongo Fleva Ali Kiba alipost picha kupitia ukurasa wake wa Instagram na kushukuru kwa baraka alizozipata baada ya kumtembelea mama mzazi wa Rais Magufuli akiwa Wilayani Chato.
0 comments:
Post a Comment